New STYLE ya SELFIE inazidi kuchukua kasi kwa Nguvu ya ajabu.

Kasi ya kupiga Selfie kwa kuweka Utamu hadharani inazidi kuongezeka ambapo wadada ndio wanaongoza. Wengi wanapiga selfie za makalio na maungo mengine huku wakieleza wanayo chukia katika maungo yao na kusisitiza wenzao wenye maungo wanayo chukia kwamba hawako peke yao.
"Unajua mimi binafsi nilikuwa nikiyachukia makalio yangu ila kwa sasa si haba, kwani ninafurahi na haya niliyo nayo na sina haja ya kuongeza saizi yake kwani haya ni tosha kabisa - Mariam wa Buguruni."

© Copyright Mombasa Ni Raha Published.. Blogger Templates
Back To Top