BINTI WA KISUTU SEKONDARY APATA MSALA KISA YOUTUBE!

Tukio hili lilitokea mwishoni mwa mwaka 2015 pale mwanafunzi mmoja wa kisutu shule ya wasichana alipo amua kukata mauno mithiri ya kungwi na nguli wa mambo, na sote twafahamu kazi ya mauno ni kwa kitanda sasa wengi tunajiuliza kwa umri wa binti huyu usio zidi miaka kumi na saba inamaana ndo kesha kuwa mtaalamu wa mambo haya?

SHULE ilipo skia uwepo wa video hii mtandaoni ilimwita yeye na wenzake na kuwapa adhabu kari iliyohusisha kusimamishwa masomo kwa muda fulani. Please utumiapo simu kuwa makini hususani wewe kijana unaye chipukia.

BONYEZA HAPA KUONA VIDEO NZIMA.
© Copyright Mombasa Ni Raha Published.. Blogger Templates
Back To Top